Mnamo Juni 7, 2018 Balozi wa Tanzania nchini Nigeria Mhe. Muhidini Ally Mboweto, alikabidhi Hati za Utambulisho kwa Rais wa Shirikisho la Jamhuri ya Nigeria Mhe. Muhammadu Buhari katika Ikulu ya nchi hiyo Jijini Abuja na kuhudhuriwa na mke wa Mhe. Balozi Hajat Ashura Ally Mboweto, Maafisa wa Ubalozi na viongozi mbalimbali wa serikali ya Nigeria.
C:\Users\Elias\Desktop\Mhe. Kukabidhi Hati\Amb Tan (4).JPG
Mhe. Balozi akipokea salamu za heshima kutoka kwa askari wa jeshi la Nigeria kabla ya kukabidhi hati za utambulisho kwa Rais wa Shirikisho la Jamhuri ya Nigeria Mhe. Muhammadu Buhari katika Ikulu ya nchi hiyo Jijini Abuja

C:\Users\Elias\Desktop\Mhe. Kukabidhi Hati\Amb Tan (5).JPG
                            Mhe. Balozi Mboweto akikagua gwaride kabla ya kukabidhi hati Hati za Utambulisho kwa Rais wa Shirikisho la Jamhuri ya Nigeria Mhe. Muhammadu Buhari katika Ikulu ya nchi hiyo Jijini Abuja
C:\Users\Elias\Desktop\HC Tanzania\Amb Tan (27).JPG
Mhe. Balozi akielekea kwenye ukumbi wa Ikulu baada ya kukagua gwaride.Mhe. Rais Buhari akiwa na Waziri wa nchi (Mambo ya Nje) na Katibu wa Rais akimsubiri Mhe. Balozi.
C:\Users\Elias\Desktop\HC Tanzania\Tan  (1).jpg
  Mhe. Balozi akikabidhi Hati kwa Mhe Rais Buhari
C:\Users\Elias\Desktop\HC Tanzania\Tan  (4).jpg
Mhe. Balozi  akiwa katika mazungumzo ya falagha na Mhe. Rais Buhari baada ya kukabidhi hati za utambulisho kwa Rais wa Shirikisho la Jamhuri ya Nigeria Mhe. Muhammadu Buhari katika Ikulu ya nchi hiyo Jijini Abuja.
Kwa habari zaidi BOFYA HAPA

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...