Balozi wa Tanzania nchini Urusi, Meja Jenerali Simon Mumwi (kulia) akizungumza na baadhi wa wafanyakazi wa Benki ya CRDB walioongozwa na Meneja Uhusiano wa Benki hiyo, Godwin Semunyu (nguo nyekundu) walipofika kuzungumza naye kuhusiana na maswala ya kibenki kwa watu wa Diaspora, kwenye Makazi ya Balozi, 51 Ulitsa Bolshaya Nikitskaya, Jijini Moscow, nchini Urusi.
Balozi wa Tanzania nchini Urusi, Meja Jenerali Simon Mumwi (katikati) akiwa katika picha ya pamoja na baadhi ya Wafanyakazi wa Benki ya CRDB walioongozwa na Meneja Uhusiano wa Benki hiyo, Godwin Semunyu (wa pili kushoto). wengine pichani kutoka kulia ni Mshauri wa Balozi, George Lengeju, mmoja wa washindi wa Promosheni ya Shuhudia Kombe la Dunia na TemboCard Visa ya Benki ya CRDB, Nuru Kisome, Meneja Masoko wa Benki ya CRDB, Jadi Ngwale.
Balozi wa Tanzania nchini Urusi, Meja Jenerali Simon Mumwi akiagana na Meneja Uhusiano wa Benki hiyo, Godwin Semunyu baada ya mazungumzoa yako, leo jijini Moscow, nchini Urusi.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...