Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya CRDB, Dk. Charles Kimei (wa pili kulia), akifafanua jambo mbele ya waandhishi wa habari wakati wa hafla fupi ya kusaini Mkataba wa kuiwezesha Benki ya Wananchi Tandahimba (TACOBA) kimtaji iliyofanyika Makao Makuu ya Benki hiyo jijini Dar es Salaam leo. Benki ya CRDB imeipatia Benki ya Wananchi Tandahimba kiashi ya Sh. 3.2 Bilioni kuongeza mtaji wake. wengine pichani toka kulia ni Naibu Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya CRDB, Esther Kitoka, Mwenyekiti wa Bodi ya Benki ya Wananchi Tandahimba (TACOBA), Rajabu Mmunda, Meneja Mkuu wa Benki ya Wananchi Tandahimba, Mugwagi Steven.
 Mwenyekiti wa Bodi ya Benki ya Wananchi Tandahimba (TACOBA), Rajabu Mmunda akizungumza jambo katika hafla hiyo.
Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya CRDB, Dk. Charles Kimei, akibadilishana Mkataba na Mwenyekiti wa Bodi ya Benki ya Wananchi Tandahimba (TACOBA), Rajabu Mmunda  wa kuiwezesha Benki ya Wananchi Tandahimba (TACOBA) kimtaji katika hafla iliyofanyika Makao Makuu ya Benki hiyo jijini Dar es Salaam.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...