Meneja mawasiliano wa Benki ya TPB chichi Banda, kushoto akimkabidhi Meneja wa Kituo cha soba House Twalibu Hassani kulia kituo hicho kilichopo Mjimwema kata ya Ungidoni Kigamboni katika maadhimisho ya kupinga Vita matumizi ya Dawa za Kulevya ambaye imefanyika Kitaifa jana, wakati wa kukabidhi vyakula mbalimbali pamoja na mafuta ya kula yenye thamani isiopungua shilingi milioni Moja,
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...