Naibu Katibu Mkuu, Wizara ya Maliasili na Utalii, Dkt. Aloyce Nzuki (kulia) akisalimiana na Waziri wa Utalii wa Kenya ambaye pia ni Mwenyekiti wa Shirika la Utalii la Umoja wa Mataifa barani Afrika (UNWTO), Mhe. Najib Balala walipokutana kwenye semina wakati wa mkutano wa kimataifa wa kujadili takwimu za utalii kama kichocheo cha maendeleo barani Afrika jijini Abuja nchini Nigeria Juni 4-6,2108. Dkt. Nzuki amemuwakilisha Waziri wa Maliasili na Utalii, Dkt. Hamisi Kigwangalla katika mkutano huo.
Naibu Katibu Mkuu, Wizara ya Maliasili na Utalii, Dkt. Aloyce Nzuki (kulia) akiwa na Waziri wa Utalii wa Zambia, Mhe. Charles Banda katika mkutano huo.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...