Familia ya marehemu Josiah Chacha inaendelea kufarijika na kuwashukuru wote kwa Sala, simu rambirambi za kifedha ambazo imekuwa ikizipokea. MUNGU na aendelee kuwabariki wote.
Kutokana na ughafla wa tukio hili, Familia ya marehemu imeridhia kusogeza mbele siku ya Last respect kwa hapa Marekani. Tutawapa taarifa Maalumu mipango itakapo kamilika.
Badala ya memorial service tutakutana leo Jumamosi June 2nd kuanzia saa nane mchana for fundraising ili tuweze kukamilisha taratibu za kumsafirisha mwenzetu.
-Bado tunakabiliwa na changamoto la kufikia gharama halisi za kumsafirisha marehemu kwenda Tanzania. Tutakuwa tukishare status ya pale tulipofikia kila siku usiku. Gharama za funeral home na ushafirishaji kwa ujumla ni $20,000. Tunaamini kwa msaada wenu tutafanikiwa lengo la kumsafirisha mwenzetu Josiah Chacha akapumzishwe kwenye nyumba yake ya milele Tanzania.
Kutokana na ughafla wa tukio hili, Familia ya marehemu imeridhia kusogeza mbele siku ya Last respect kwa hapa Marekani. Tutawapa taarifa Maalumu mipango itakapo kamilika.
Badala ya memorial service tutakutana leo Jumamosi June 2nd kuanzia saa nane mchana for fundraising ili tuweze kukamilisha taratibu za kumsafirisha mwenzetu.
Address ni
540 Granby RD, Apt
26, South Hadley , MA 01075
-Bado tunakabiliwa na changamoto la kufikia gharama halisi za kumsafirisha marehemu kwenda Tanzania. Tutakuwa tukishare status ya pale tulipofikia kila siku usiku. Gharama za funeral home na ushafirishaji kwa ujumla ni $20,000. Tunaamini kwa msaada wenu tutafanikiwa lengo la kumsafirisha mwenzetu Josiah Chacha akapumzishwe kwenye nyumba yake ya milele Tanzania.
Ndugu zangu Watanzania tunaopendana kwa utaifa wetu,familia ya Watanzania New England tumepatwa na msiba wa mwenzetu Josiah Chacha. Michango yetu inahitajika ili mwenzetu Josiah Chacha aweze kwenda pumzishwa katika nyumba yake ya milele.
Tuungane ndugu na tulichonacho ili tuwasaidie familia yake kukamilisha mipango ya mazishi yake. Tusaidie pia kuarifu wanajumuiya wenzetu ili nao wasaidie.
Kwa taarifa zaidi Unaweza wasiliana moja kwa moja na:
Aida (Fiancee) : 413-693-5432
Sada (Dada wa marehemu): 413-204-1321
Richard Mwandemani: 413-262-0400
Msiba upo nyumbani kwa marehemu:
540 Grandy Rd,
South Hardley MA 01075
Kwa Rambirambi Kuisindikiza familia hii kwa rambirambi, tafadhali tumia njia yeyote kati ya hizi:
CashApp
Aida Mwangaka: 413-693-5432
Amina Makoko : 413-204-1321
Bank Account
Bank of America (BOA)
acct;004648822691
routing;011000136
jina;VeronicaBisege
BWANA AMETOA, BWANA AMETWAA,
NA JINA LAKE LIHIMIDIWE
AMINA
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...