Familia ya marehemu Josiah Chacha inaendelea kufarijika na kuwashukuru wote kwa Sala, simu rambirambi za kifedha ambazo imekuwa ikizipokea. MUNGU na aendelee kuwabariki wote.

Kutokana na ughafla wa tukio hili, Familia ya marehemu imeridhia kusogeza mbele siku ya Last respect kwa hapa Marekani. Tutawapa taarifa Maalumu mipango itakapo kamilika.

Badala ya memorial service tutakutana leo Jumamosi June 2nd kuanzia saa nane mchana for fundraising ili tuweze kukamilisha taratibu za kumsafirisha mwenzetu.
Address ni 
26, South Hadley , MA 01075

-Bado tunakabiliwa na changamoto la kufikia gharama halisi za kumsafirisha marehemu kwenda Tanzania. Tutakuwa tukishare status ya pale tulipofikia kila siku usiku. Gharama za funeral home na ushafirishaji kwa ujumla ni $20,000. Tunaamini kwa msaada wenu tutafanikiwa lengo la kumsafirisha mwenzetu Josiah Chacha akapumzishwe kwenye nyumba yake ya milele Tanzania.
Ndugu zangu Watanzania tunaopendana kwa utaifa wetu,familia ya Watanzania New England tumepatwa na msiba wa mwenzetu Josiah Chacha. Michango yetu inahitajika ili mwenzetu Josiah Chacha aweze kwenda pumzishwa katika nyumba yake ya milele.
 Tuungane ndugu na tulichonacho ili tuwasaidie familia yake kukamilisha mipango ya mazishi yake. Tusaidie pia kuarifu wanajumuiya wenzetu ili nao wasaidie. 
Kwa taarifa zaidi Unaweza wasiliana moja kwa moja na: 
Aida (Fiancee) : 413-693-5432 
Sada (Dada wa marehemu): 413-204-1321 
Richard Mwandemani: 413-262-0400 

Msiba upo nyumbani kwa marehemu: 
540 Grandy Rd, 
South Hardley MA 01075 

Kwa Rambirambi Kuisindikiza familia hii kwa rambirambi, tafadhali tumia njia yeyote kati ya hizi: 
CashApp 
Aida Mwangaka: 413-693-5432 
Amina Makoko : 413-204-1321

Bank Account 
Bank of America (BOA)
acct;004648822691 
routing;011000136
jina;VeronicaBisege

BWANA AMETOA, BWANA AMETWAA,
NA JINA LAKE LIHIMIDIWE
AMINA

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...