Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Mambo ya Nje, Ulinzi na Usalama Mhe. Mussa Zungu (katikati) akizungumza na Waheshimiwa Wabunge (hawapo kwenye picha) kutoka Jimbo la Gauteng lililopo Afika kusini ambao ni Wajumbe wa kamati ya Usalama wa Jamii walipowatembelea leo katika Ukumbi wa Bunge Jijini Dodoma. 
 Wabunge wa Bunge la Tanzania ambao ni Wajumbe wa kamati ya Kudumu ya Bunge ya Mambo ya Nje, Ulinzi na Usalama (kulia) wakizungumza na Wajumbe wa kamati ya Usalama wa Jamii ambao ni Waheshimiwa Wabunge kutoka Jimbo la Gauteng lililopo Afika kusini walipokutana leo katika Ukumbi wa Bunge Jijini Dodoma.
 Wabunge wa Bunge la Tanzania ambao ni Wajumbe wa kamati ya Kudumu ya Bunge ya Mambo ya Nje, Ulinzi na Usalama wakiwa katika picha ya pamoja na Wajumbe wa kamati ya Usalama wa Jamii ambao ni Waheshimiwa Wabunge kutoka Jimbo la Gauteng lililopo Afika kusini walipokutana leo katika Ukumbi wa Bunge Jijini Dodoma.
Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Mambo ya Nje, Ulinzi na Usalama na Mbunge wa IIala  Mhe. Mussa Zungu (kulia) akisalimiana na Kiongozi wa Msafara wa Wabunge kutoka Jimbo la Gauteng lililopo Afika kusini ambao ni Wajumbe wa kamati ya Usalama wa Jamii, Mhe.  Sochayile Khanyile

 (PICHA NA DEONISIUS SIMBA - OFISI YA BUNGE

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...