Mwenyekiti wa Umoja wa Wanawake wa Chama cha Mapinduzi Tanzania (UWT) Taifa, Gaudencia Kabaka akizungumza wakati wa hafla ya utambulisho wa Katibu Mkuu mpya wa Umoja huo Mwalimu Queen Mlozi pamoja na kukabidhiwa Ofisi rasmi jijini Dar es salaam.
Katibu Mkuu wa UWT aliemaliza muda wake Amina Makilagi akimuelekeza jambo Katibu Mkuu mpya UWT Mwalimu Queen Mlozi wakati wa mabdhiano ya Ofisi hapo jana Jijini Dar es salam,Mlozi ,amewataka wanawake kuwa wamoja na kushikamana katika mambo mbalimbali ya kujiletea maendeleo.
Katibu Mkuu UWT aliemaliza muda wake Amina Makilagi pichani kulia akimkabidhi ofisi Katibu Mkuu Mpya Mwalimu Queen Mlozi hapo Jana katika ofisi za Umoja huo Jijini Dar es salam.
Wakiwa katika picha ya pamoja Uongozi wa sasa na Uliopita wa UWT
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...