Leo 22/06/2018 Umetimiza miaka Mitatu tangu umefariki Huko Houston,TX,USA. Sisi ndugu zako umetuachia Huzuni na pengo ambalo halitazibika.Unakumb ukwa sana na watoto zako Luis(Anwar) na Jermaine.
Unakumbukwa na Baba yako Mzazi mzee Lawrence Mushi Kimbori,Wadogo zako Rudolf(dofu),Gaudenc e,Fulgence,Renatus(K ulwa),Claudia,Martha (Dotto/Manka) na Mary(Mkakeni).
Unakum bukwa na Ukoo wote wa Kimbori na Massawe.Unakumbukwa na ndugu Jamaa na marafiki zako wote.
Pia Unakumbukwa na wanajumuiya wa Tanzania Houston Community (THC) Houston TX, USA.
Bwana alitoa, Bwana ametwaa
Jina lake Lihimidiwe,
Amen.
Rest in Peace Mundo
ReplyDelete