Mhasibu Mwezeshaji OR TAMISEMI, Melkizedeki Kimaro, akiwasilisha mada kuhusu mchakato wa Imprest kwakutumia mfumo wa Uhasibu na utoaji wa taarifa wa (Epicol) kwenye ukumbi wa Victoria Palace Jijini Mwanza.
Mmoja ya Wawezeshaji wa mafunzo ya mfumo wa Uhasibu na utoaji wa taarifa (Epicol 10.2) kutoka OR TAMISEMI, Stanslaus Msenga, akiwa anatoa msaada wa kiufundi kwa mmoja ya wahasibu wakati wa mafunzo hayo yanayoendelea kwa siku ya tatu.
Watunza Hazina na Wahasibu kutoka katika Halmashauri za Mikoa ya Mwanza na Simiyu wakiwa wanafatilia kwa ufasaha mafunzo ya Uhasibu na utoaji taari kwa njia ya kieletroniki (Epicol) wakifatilia kwa makini mafunzo hayo.
Kaimu Mweka Hazina wa Halmashauri ya Meatu, Laurent Mguma, akifanya nukuu muhimu za mafunzo hivi leo kuhusu mfumo wa Epicol, kama alivyokutwa na Kamera yetu kwenye ukumbi wa Viktoria Palace.
Washiriki wakiwa makini kuhakikisha mara baada ya mafunzo wanaanza kutumia vema mfumo wa Uhasibu na utoaji wa tarifa.
Washiriki wakiwa makini kuhakikisha mara baada ya mafunzo wanaanza kutumia vema mfumo wa Uhasibu na utoaji wa tarifa.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...