Mnamo Desemba 2013 Dr.Marko Hingi ambaye alikuwa mwanafunzi wa udaktari katika chuo kikuu cha afya na sayansi alishinda gari kupitia kampuni ya kuagiza magari ya Be Forward ambapo alikabidhiwa mnano Februari 25, 2014. Makabidhio hayo yalifanyika katika bustani ya palm residency karibu na hospitali ya Ocean Road Dar es salaam.
(BOFYA HAPA KUONA KUMBUKUMBU HIYO)
Katika kufuatilia, Michuzi Blog imefanikiwa kumtafuta na kumpata Dr. Marko Hingi na kufanya mahojiano nae miaka minne baada ya kushinda gari aina ya Toyota-Noah ambapo katika mahojiano na vyombo vya habari aliahidi kulitumia gari hilo kubeba wagonjwa hasa kinamama wajawazito na watoto wanapopata dharura.





Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...