Makamu wenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge Kilimo,Mifugo na Maji Dkt.Christine Ishengoma(kushoto) akiangalia kwa makini kifungashio cha parachichi zinazozalishwa na kupakiwa na kampuni ya Tanzanice Agrofood Ltd.  ya Mkoani Njombe. walipotembelea kiwanda hicho ikiwa ni sehemu ya ziara ya kamati hiyo kutembelea na kujifunza maeneo ya kilimo yanaratibiwa na Kituo ch Kuendeleza Kilimo Nyanda za Juu Kusini mwa Tanzania(SAGCOT). Kulia ni Contract farming Manager wa Kampuni hiyo Bw.Noel Lugenge
 Naibu Waziri wa Kilimo Dkt.Mary Mwanjelwa(wapili kulia) akiwa ameshika parachichi pamoja na Makamu wenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge Kilimo,Mifugo na Maji Dkt.Christine Ishengoma(wapili kushoto)
walipotembelea Kampuni ya Tanzanice Agrofood Ltd. Mkoani Njombe inayokusanya na kupatia zao hilo kwa kusafirisha katika masoko ya nje ikiwa ni sehemu ya ziara ya kamati hiyo kutembelea na kujifunza maeneo ya kilimo yanaratibiwa na Kituo ch Kuendeleza Kilimo Nyanda za Juu Kusini mwa Tanzania(SAGCOT). kushoto ni Contract farming Manager wa Kampuni hiyo Bi.Rebeca Hepelwa
 Naibu Waziri wa Kilimo Dkt.Mary Mwanjelwa(wapili kulia) akiwa ameshika mche wa parachichi akiwa  na Makamu Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge Kilimo,Mifugo na Maji Dkt.Christine Ishengoma walipotembelea Kampuni ya Tanzanice Agrofood  Ltd. Mkoani Njombe inayokusanya na kupakia zao hilo kwa kusafirisha katika masoko ya nje.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...