Mganga Mkuu wa Serikali Profesa Mohamed Bakari akizungumza
katika hafla ya kuwatunukia wanafunzi Kidato cha Nne na cha Tano
waliofanya vizuri kitaifa katika masomo ya Sayansi, Baioloji na Kemia
iliyofanyika kwenye makao makuu ya Mamlaka ya Maabara ya Mkemia Mkuu wa
Serikali barabara ya Barack Obama jijini Dar es salaam.
Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi ya Wakala wa Maabara ya
Mkemia mkuu wa Serikali Profesa Esther Hellen Jason akizungumza katika hafla hiyo
iliyofanyika makao makuu ya mamlaka hiyo jijini Dar es salaam.
Mkemia Mkuu wa Serikali Dk Fidelice Mafumiko
akizungumza na kutoa maelezo kadhaa wakati wa kuwatunikia zawadi
wanafunzi waliofanya vizuri katika masomo ya Sayansi, Kemia na Baioloji
katika hafla iliyofanyika jijini Dar es salaam.
Picha mbalimbali zikionyesha wanafunzi wakipokea vyeti na zawadi katika hafla hiyo.
HABARI ZAIDI BOFYA HAPA
HABARI ZAIDI BOFYA HAPA
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...