Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein (kushoto) akimuapisha  Jaji Mkuu Mstaafu wa Zanzibar Mhe.Hamid Mahmoud Hamid kuwa Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi Zanzibar (ZEC)  katika hafla iliyofanyika leo katika Ukumbi wa Ikulu Mjini Zanzibar,ambapo Viongozi mbali mbali walihudhuria.
 Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein (kushoto)akimuapisha  Bw.Mabrouk Jabu Makame kuwa Mjumbe wa Tume Mpya ya Uchaguzi Zanzibar  (ZEC)  katika hafla iliyofanyika leo katika  Ukumbi wa Ikulu Mjini Zanzibar,ambapo Viongozi mbali mbali walihudhuria
 Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein (kushoto)akimuapisha  Bw.Feteh Saad Mgeni kuwa Mjumbe wa Tume Mpya ya Uchaguzi Zanzibar  (ZEC)  katika hafla iliyofanyika leo katika  Ukumbi wa Ikulu Mjini Zanzibar,ambapo Viongozi mbali mbali walihudhuria.
 Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein (kushoto)akimuapisha  Bw.Makame Juma Pandu kuwa Mjumbe wa Tume Mpya ya Uchaguzi Zanzibar  (ZEC)  katika hafla iliyofanyika leo katika  Ukumbi wa Ikulu Mjini Zanzibar,ambapo Viongozi mbali mbali walihudhuria.
 Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein (kushoto)akimuapisha  Dk.Kombo Khamis Hassan kuwa Mjumbe wa Tume Mpya ya Uchaguzi Zanzibar  (ZEC)  katika hafla iliyofanyika leo katika  Ukumbi wa Ikulu Mjini Zanzibar, ambapo Viongozi mbali mbali walihudhuria.
 Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein (kushoto)akimuapisha   Jaji Khamis Ramadhan Abdalla  kuwa Mjumbe wa Tume Mpya ya Uchaguzi Zanzibar  (ZEC)  katika hafla iliyofanyika leo katika  Ukumbi wa Ikulu Mjini Zanzibar,ambapo Viongozi mbali mbali walihudhuria.
 Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein (kushoto)akimuapisha  Bibi Jokha  Khamis Makame kuwa Mjumbe wa Tume Mpya ya Uchaguzi Zanzibar  (ZEC)  katika hafla iliyofanyika  leo katika  Ukumbi wa Ikulu Mjini Zanzibar,ambapo Viongozi mbali mbali walihudhuria
 Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein (katikati)akiwa katika Picha ya Pamoja na Viongozi,Wajumbe wa Tume mpya ya Uchaguzi ya Zanzibar (ZEC)  katika hafla iliyofanyika leo katika  Ukumbi wa Ikulu Mjini Zanzibar,ambapo Viongozi mbali mbali walihudhuria
Baadhi ya Viongozi na Wananchi mbali mbali waliohudhuria katika hafla ya kuapishwa Wajumbe wa  Tume mpya ya Uchaguzi ya Zanzibar (ZEC)  katika hafla iliyofanyika leo katika Ukumbi wa Ikulu Mjini Zanzibar,ambapo Viongozi mbali mbali walihudhuria.
 Mwanasheria Mkuu wa Zanzibar Mhe, Said Hassan Said akisalimiana na Wajumbe wa  Tume mpya ya Uchaguzi ya Zanzibar (ZEC)  kabla ya kuapishwa leo katika hafla iliyofanyika  Ukumbi wa Ikulu Mjini Zanzibar  na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein (hayupo pichani).
(Picha na Ikulu)

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...