Sami Hyypia veterani wa timu ya Liverpool ambaye yupo nchini kwa mwaliko wa benki ya Standard Chartered amesema kuwa mwanasoka wa mafanikio kunahitaji kazi ngumu na kujituma.
Alisema tangu utoto wake amekuwa akijituma na anaamini katika kujituma katika shughuli zinazokuinua.Alisema hayo katika hafla ya kukabidhiana vifaa kwa timu zitakazoshiriki michuano ya kombe la Standard Chartered inayotarajiwa kufanyika jumamosi wiki hii, iliofanyika hoteli ya Hyatt Kilimanjaro.
Alisema kwamba kuwa juu katika soko kunatokana na mambo mawili makubwa ambayo ni kujituma na kuwa na kipaji.Alisema hata ukiwa na kipaji ukibweteka katika mazoezi na kujituma katika kuhakikisha uko fiti katika maisha ya mwanasoka huwezi kufikia ngazi za juu za uchezaji wenye kuheshimika.
Alisema pamoja na kuja kuangalia michuano hiyo amepata nafasi ya kuzungumza haja ya kukua katika soka kwa kutengeneza nidhamu inayotakiwa ya kujituma, kufanya mazoezi na kutumia kipaji katika kuimarisha usakataji soka.
Alisema tangu utoto wake amekuwa akijituma na anaamini katika kujituma katika shughuli zinazokuinua.Alisema hayo katika hafla ya kukabidhiana vifaa kwa timu zitakazoshiriki michuano ya kombe la Standard Chartered inayotarajiwa kufanyika jumamosi wiki hii, iliofanyika hoteli ya Hyatt Kilimanjaro.
Alisema kwamba kuwa juu katika soko kunatokana na mambo mawili makubwa ambayo ni kujituma na kuwa na kipaji.Alisema hata ukiwa na kipaji ukibweteka katika mazoezi na kujituma katika kuhakikisha uko fiti katika maisha ya mwanasoka huwezi kufikia ngazi za juu za uchezaji wenye kuheshimika.
Alisema pamoja na kuja kuangalia michuano hiyo amepata nafasi ya kuzungumza haja ya kukua katika soka kwa kutengeneza nidhamu inayotakiwa ya kujituma, kufanya mazoezi na kutumia kipaji katika kuimarisha usakataji soka.
Ofisa
Mtendaji Mkuu wa Benki ya Standard Chartered nchini, Sanjay Rughani
(kushoto) akizungumza kwenye hafla mchapalo uliyoambatana na tukio la
kukabidhi vifaa vya michezo kwa timu shiriki kwa ajili ya maandalizi ya
mashindano ya Kombe la Standard Chartered yatakayofanyika siku ya
Jumamosi katika viwanja vya Gymkhana jijini Dar es Salaam. Hafla hiyo
imefanyika Hoteli ya Serena jijini Dar es Salaam ambapo baadhi ya
wachezaji wa timu shiriki na makapteni walipata fursa ya kupiga picha na
kusainiwa ‘Autograph’ Gwiji la soka, klabu ya Liverpool, Sami Hyypia
(kulia).
Gwiji
la soka, klabu ya Liverpool, Sami Hyypia akizungumza na timu (hazipo
pichani) zitakazoshiriki mashindano ya Kombe la Standard Chartered
yatakayofanyika siku ya Jumamosi katika viwanja vya Gymkhana jijini Dar
es Salaam. Hafla hiyo imefanyika Hoteli ya Serena jijini Dar es Salaam
ambapo baadhi ya wachezaji wa timu shiriki na makapteni walipata fursa
ya kupiga picha na kusainiwa ‘Autograph’ gwiji huyo. Kushoto ni Ofisa
Mtendaji Mkuu wa Benki ya Standard Chartered nchini, Sanjay Rughani.
Mkuu
wa Mahusiano na Masoko wa Benki ya Standard Chartered nchini, Juanita
Mramba (kushoto) na Meneja Mahusiano wa Benki ya Standard Chartered
nchini, Mariam Sezinga wakipitia ratiba ya hafla mchapalo uliyoambatana
na tukio la kukabidhi vifaa vya michezo kwa timu shiriki kwa ajili ya
maandalizi ya mashindano ya Kombe la Standard Chartered yatakayofanyika
siku ya Jumamosi katika viwanja vya Gymkhana jijini Dar es Salaam. Hafla
hiyo imefanyika Hoteli ya Serena jijini Dar es Salaam ambapo baadhi ya
wachezaji wa timu shiriki na makapteni walipata fursa ya kupiga picha na
kusainiwa ‘Autograph’ Gwiji la soka, klabu ya Liverpool, Sami Hyypia
(hayupo pichani).
Ofisa
Mtendaji Mkuu wa Benki ya Standard Chartered nchini, Sanjay Rughani na
Gwiji la soka, klabu ya Liverpool, Sami Hyypia wakikabidhi vifaa vya
michezo kwa Afisa Rasilimali Watu wa Kampuni ya Airtel Tanzania,
Mubaraka Kibarabara (katikati) ambapo Airtel ni moja kati ya washiriki
32 wa mashindano ya ya Kombe la Standard Chartered yatakayofanyika siku
ya Jumamosi katika viwanja vya Gymkhana jijini Dar es Salaam wakati wa
hafla mchapalo uliofanyika katika hoteli ya Serena jijini Dar es Salaam.
Baadhi
ya washiriki kutoka kampuni mbalimbali wa mashindano ya Kombe la
Standard Chartered yatakayofanyika siku ya Jumamosi katika viwanja vya
Gymkhana jijini Dar es Salaam wakimsikiliza Ofisa Mtendaji Mkuu wa Benki
ya Standard Chartered nchini, Sanjay Rughani (hayupo pichani) wakati wa
hafla mchapalo uliyoambatana na tukio la kukabidhi vifaa vya michezo
kwa timu shiriki kwa ajili ya maandalizi ya mashindano hayo
yatakayofanyika siku ya Jumamosi katika viwanja vya Gymkhana jijini Dar
es Salaa. Hafla hiyo imefanyika Hoteli ya Serena jijini Dar es Salaam
ambapo baadhi ya wachezaji wa timu shiriki na makapteni walipata fursa
ya kupiga picha na kusainiwa ‘Autograph’ Gwiji la soka, klabu ya
Liverpool, Sami Hyypia.
Baadhi
ya wageni waalikwa wakibadilishana mawazo wakati wa hafla mchapalo
uliyoambatana na tukio la kukabidhi vifaa vya michezo kwa timu shiriki
kwa ajili ya maandalizi ya mashindano ya kombe la Standard Chartered
2018 yatakayofanyika siku ya Jumamosi katika viwanja vya Gymkhana jijini
Dar es Salaam. Hafla hiyo imefanyika Hoteli ya Serena jijini Dar es
Salaam ambapo baadhi ya wachezaji wa timu shiriki na makapteni walipata
fursa ya kupiga picha na kusainiwa ‘Autograph’ Gwiji la soka, klabu ya
Liverpool, Sami Hyypia (hayupo pichani).
Gwiji
la soka, klabu ya Liverpool, Sami Hyypia akisaini ‘Autograph’ kwa
baadhi ya timu zitakazoshiriki mashindano ya kombe la Standard Chartered
2018 yatakayofanyika siku ya Jumamosi katika viwanja vya Gymkhana
jijini Dar es Salaam.
Gwiji
la soka, klabu ya Liverpool, Sami Hyypia akisalimiana na baadhi ya timu
kutoka makampuni mbalimbali zitakazoshiriki mashindano ya Kombe la
Standard Chartered yatakayofanyika siku ya Jumamosi katika viwanja vya
Gymkhana jijini Dar es Salaam wakati wa hafla mchapalo uliyoambatana na
tukio la kukabidhi vifaa vya michezo kwa timu shiriki kwa ajili ya
maandalizi ya mashindano hayo yatakayofanyika siku ya Jumamosi. Hafla
hiyo imefanyika Hoteli ya Serena jijini Dar es Salaam ambapo baadhi ya
wachezaji wa timu shiriki na makapteni walipata fursa ya kupiga picha na
kusainiwa ‘Autograph’ Gwiji la soka, klabu ya Liverpool, Sami Hyypia.
KUSOMA ZAIDI BOFYA HAPA
KUSOMA ZAIDI BOFYA HAPA
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...