Spika wa Bunge, Mhe. Job Ndugai (kushoto) akisalimiana na Balozi wa Uholanzi nchini Tanzania, Mhe. Jeroen Verheul alipomtembelea leo tarehe 18 Juni, 2018 Ofisini kwake Bungeni Jijini Dodoma.
 Spika wa Bunge, Mhe. Job Ndugai (kushoto) akizungumza na Balozi wa Uholanzi nchini Tanzania, Mhe. Jeroen Verheul alipomtembelea leo tarehe 18 Juni, 2018 Ofisini kwake Bungeni Jijini Dodoma.
 Spika wa Bunge, Mhe. Job Ndugai (kushoto) akimsikiliza Balozi wa Uholanzi nchini Tanzania, Mhe. Jeroen Verheul alipomtembelea leo tarehe 18 Juni, 2018 Ofisini kwake Bungeni Jijini Dodoma.
Spika wa Bunge, Mhe. Job Ndugai (kushoto) akiagana na Balozi wa Uholanzi nchini Tanzania, Mhe. Jeroen Verheul alipomtembelea leo tarehe 18 Juni, 2018 ​fisini kwake Bungeni Jijini Dodoma.
(PICHA NA DEONISIUS SIMBA – OFISI YA BUNGE)

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...