Mhe. Dkt. Augustine Mahiga, Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, akipokea taarifa ya kazi kutoka kwa Balozi wa Tanzania nchini Norway mwenye makazi yake Stockholm Sweden, Mhe. Dkt. Wilbroad Slaa, katika Hoteli ya Grand Oslo iliyopo kwenye mji wa Oslo, Norway.  

Mhe. Dkt. Augustine Mahiga, Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, akiwa kwenye kikao cha kazi na ujumbe wake mara baada ya kuwasili Mjini Oslo, Norway kwa ziara ya kikazi ya siku mbili. Kwenye ziara hiyo Waziri Mahiga ameongozana na Katibu Mkuu wa Wizara Prof. Adolf Mkenda (kulia kwa Waziri), Kaimu Mkurugenzi wa Idara ya Ulaya na Marekani Bw. Jestus Nyamanga, Mtaalam kutoka Wizara ya Nishati Bw. Adamu Zuberi, pamoja na maafisa waandamizi wa Mambo ya Nje. 

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...