Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akishiriki katika swala ya Eid kwenye Msikiti Anwar, Msasani, jijini Dar es salaam leo Juni 15, 2018.
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza baada ya kushiriki katika swala ya Eid kwenye Msikiti wa Anwar, Msasani, jijini Dar es salaam leo Juni 15, 2018.
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akisalimiana na baadhi ya Waislamu baada ya kushiriki katika swala ya Eid kwenye Msikiti wa Anwar, Msasani, jijini Dar es salaam leo Juni 15, 2018.
Mkuu, Kassim Majaliwa akiwapungia wananchi baada ya kushiriki katika swala ya Eid kwenye Msikiti wa Anwar, Msasani, jijini Dar es salaam leo Juni 15, 2018. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...