Chuo cha Elimu ya Biashara (CBE) kama mdau wa muhimu wa TCU kitashiriki katika maonesho hayo muhimu.  Pamoja na kutoa maelezo sahihi ya shughuli na huduma zinazotolewa CBE. Chuo kitapokea maombi ya kujiunga  katika ngazi za Masters, Bachelor Degree, Postgraduate Diploma  na Certificate.
1: MASTERS
a) Masters in IT Project Management 
b) Masters in ICT for Development 
C) Masters in Supply chain Management 
d) Masters in International Business Management 
2: BACHELOR,  DIPLOMA &  CERTIFICATE IN:-
a) Accountancy 
b) Business Administration 
C) Marketing 
d) Procurement and Supplies Management 
e) Information and Communication Technology 
f) Metrology and Standardization 
3: Bachelor of Business Studies with Education (BBSE)
4: Fika na vivuli vya vyeti vyako pamoja na Tshs 10,000/= gharama ya maombi. Mweye sifa atapewa Joining instruction . 
Pia, maombi ya kujiunga yanapokelewa katika Kampasi zetu za DSM, DODOMA, MWANZA  na MBEYA. Vilevile unaweza kuomba kupitia tovuti ya Chuo www.cbe.ac.tz 
Karibuni Ada zetu ni nafuu na zinalipwa kidogo kidogo.
KWA MAELEZO ZAIDI
TUPIGIE 0756 722 467
"ELIMU YA BIASHARA KWA MAENDELEO YA VIWANDA TANZANIA"
KARIBUNI SANA
Imetolewa na Kitengo cha Uhusiano na Masoko
CBE

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...