Na Chalila Kibuda, Globu ya Jamii
TAFITI zote lazima ziombewe vibali kabla ya kuanza kufanya utafiti huo ikiwa kuhakikisha tafiti zinakuwa na viwango vinavyoendana taratibu zilizowekwa na Tume ya  Taifa ya Sayansi na Teknolojia (Costech)

Akizungumza katika Maonesho Mkutubi wa Costech Amedeus Maro amesema kuwa mtu akipata kibali cha kufanya utafiti baada ya kukamilika lazima apeleke kabla kwenda katika matumizi mengine.

Amesema kuwa kunatofauti  kati tafiti za kitaaluma na tafiti kwa ajili ya kutumika katika umma ambazo zinahitajika kuangaliwa njia zilizotumika kwa kuangalia masilahi mapana ya umma.

Amesema kuwa zinazofanywa na vyuo mwenye dhamana ni mkuu wa Chuo ndiye anayetambulika na Costech na wanafunzi wa nje ya nchi wanaotaka kufanya utafiti lazima waombe Costech kutokana kuwa hakuna mahusiano na mkuu wa chuo cha nje ya nchi.

Maro amesema kuwa wananchi na watafiti kuweza kufanya mawasiliano na Costech kabla ya kufanya utafiti na bila kufanya hivyo hatua kali atachukuliwa kwa mtu atakayefanya utafiti. 
 Mkutubi wa Costech Amedeus Maro akizungumza na mwananchi aliotembelea banda la Costech katika Maonesho ya Vyuo Vikuu yanayofanyika katika Viwanja vya Mnazi Mmoja jijini Dar es Salaam.

  Afisa wa Tehama wa Costech Alfred Nyoni akizungumza na wananchi waliotembelea banda la Costech katika Maonesho ya Vyuo Vikuu yanayofanyika katika Viwanja vya Mnazi Mmoja jijini Dar es Salaam.
Meneja wa Miradi wa Magilatech , Godwin Mloka akizungumza na wananchi kuhusiana na ugunduzi wa technolojia Maonesho ya Vyuo Vikuu yanayofanyika katika Viwanja vya Mnazi Mmoja jijini Dar es Salaam.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...