Mkurugenzi wa Halmashauri ya Manispaa ya Ubungo, John Kayombo akizungumza jambo na kaimu Mwamlimu Mkuu wa Shule ya Sekondari Kimara wakati alipofika kukagua ujenzi wa Madarasa Manne yanayojengwa katika Sekondari hiyo Mpya, leo jijini Dar es salaam.
Mkurugenzi wa Halmashauri ya Manispaa ya Ubungo, John Kayombo, akikagua ubora wa Zege linalotumika katika ujenzi wa madarasa manne katika shule ya Sekondari Kimara.
Mkurugenzi wa Halmashauri ya Manispaa ya Ubungo, John Kayombo akisaidiwa kupanda juu ya Msingi na Afisa Mtendaji wa kata Kimara.
Mkurugenzi wa Halmashauri ya Manispaa ya Ubungo, John Kayombo akitoa maelekezo kwa mkandarasi aweze kumaliza ujezni huo kwa wakati.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...