Mbunge wa jimbo la Iramba Magharibi mkoa wa Singida Dkt Mwigulu Nchemba akikagua ujenzi wa kituo cha Afya cha kata ya kinampanda kinachojengwa kwa nguvu za wananchi wakishirikiana na Mbunge pamoja na serikali kuu, kituo hicho ni cha kwanza tangu kupatikana kwa uhuru wa Tanganyika.
Mbunge wa jimbo la Iramba magharibi mkoa wa Singida Dkt Mwigulu Nchemba akikabidhi Bati 200 kwa wananchi kwa ajili ya kuezekea majengo ya kituo cha afya cha kinampanda .
Mbunge wa jimbo la Iramba magharibi mkoa wa Singida Dkt Mwigulu Nchemba akiwahutubia Wananchi wa kata ya Kinampanda kutoa taarifa ya ulipofikia ujenzi wa kituo cha afya ambacho kilikua ni moja ya ahadi zake akiomba ridhaa ya kuongoza jimbo hilo.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...