Waziri wa Mambo ya
Ndani ya Nchi, Kangi Lugola(wapili kutoka kushoto), akimsikiliza Mchapaji wa
nyaraka mbalimbali zinazotumiwa na Idara ya Uhamiaji,Enos Lwinga, wakati
alipotembela kiwanda cha uchapaji nyaraka hizo kilichopo Mtoni Kijichi, jijini
Dar es Salaam.Wakwanza kushoto ni Kamishna Jenerali wa Uhamiaji,Dk. Anna
Makakala .Picha na Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi
Waziri wa Mambo ya
Ndani ya Nchi, Kangi Lugola(wapili kutoka kushoto), akimsikiliza Mchapaji wa
nyaraka mbalimbali zinazotumiwa na Idara ya Uhamiaji,Enos Lwinga, wakati
alipotembela kiwanda cha uchapaji nyaraka hizo kilichopo Mtoni Kijichi, jijini
Dar es Salaam.Wakwanza kushoto ni Kamishna Jenerali wa Uhamiaji,Dk. Anna
Makakala .Picha na Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi
Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Kangi Lugola,
akikagua nyaraka mbalimbali zinazotumiwa
na Idara ya Uhamiaji, alipotembela
kiwanda cha uchapaji nyaraka hizo kilichopo Mtoni Kijichi, jijini Dar es
Salaam.Kulia ni Kamishna Jenerali wa Uhamiaji,Dk. Anna
Makakala
Kamishna Jenerali wa
Uhamiaji,Dk. Anna Makakala, akifafanua jambo kwa Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Kangi Lugola(kushoto), wakati
waziri alipotembela kiwanda cha uchapaji nyaraka hizo kilichopo Mtoni Kijichi,
jijini Dar es Salaam .Picha na Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi
Mtumishi wa Idara ya Uhamiaji ,Eva Kikoti akifafanua jambo kwa Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Kangi Lugola (kushoto), wakati
waziri alipotembela kiwanda cha uchapaji nyaraka hizo kilichopo Mtoni Kijichi,
jijini Dar es Salaam . Kulia ni Kamishna Jenerali wa Uhamiaji,Dk. Anna
Makakala.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...