Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Kangi Lugola,
akimuuliza swali, Mkurugenzi Mkuu wa Idara ya Uzalishaji Vitambulisho, Alphonce
Malibiche (kushoto), wakati wa ziara ya kutembelea Kituo Kikuu cha Uzalishaji
Vitambulisho vya Taifa, kilichopo Kibaha, Mkoani Pwani.Wapili kulia ni Kaimu
Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Vitambulisho vya Taifa (Nida), Andrew Masawe.
Mkurugenzi Mkuu wa Idara ya Uzalishaji Vitambulisho, Alphonce
Malibiche, akifafanua jambo wakati wa
ziara ya Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Kangi Lugola (wapili kulia), kutembelea
Kituo Kikuu cha Uzalishaji Vitambulisho vya Taifa, kilichopo Kibaha, Mkoani
Pwani.Wakwanza kulia ni Kaimu Mkurugenzi
Mkuu wa Mamlaka ya Vitambulisho vya Taifa (Nida),Andrew Masawe
Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Kangi Lugola
akizungumza na Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Vitambulisho vya Taifa (Nida),
Andrew Masawe wakati wa ziara yake ya
kikazi kutembelea Kituo Kikuu cha
Uzalishaji Vitambulisho vya Taifa, kilichopo Kibaha, Mkoani Pwani
Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Kangi Lugola
akisalimiana na watumishi wa Mamlaka ya Vitambulisho vya Taifa(Nida), baada ya
kuwasili Kituo Kikuu cha Uzalishaji
Vitambulisho vya Taifa, kilichopo Kibaha, mkoani Pwani.
Waziri wa Mambo ya
Ndani ya Nchi, Kangi Lugola (watatu kulia), akiwa katika picha ya pamoja na
Watendaji Wakuu wa Mamlaka ya Vitambulisho vya Taifa(Nida), baada ya kutembelea
Kituo Kikuu cha Uzalishaji Vitambulisho vya Taifa,kilichopo Kibaha,Mkoani Pwani.Wapili
kulia ni Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Vitambulisho vya Taifa (Nida), Andrew
Masawe Picha na Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi
IMEANDALIWA
NA KITENGO CHA MAWASILIANO SERIKALINI-WIZARA YA MAMBO YA NDANI YA NCHI
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...