Katibu Mkuu Wazira ya Mambo ya Ndani ya Nchi, Meja Jenerali Jacob Kingu akisalimiana na Jaji Kiongozi wa Mahakama Kuu ya Tanzania Dr. Eliezer Feleshi, wakati alipoenda kuapishwa kuwa Mjumbe wa Tume ya Utumishi Jeshi la Polisi, Magereza pamoja na Uhamiaji jijini Dar es Salaam.
 Katibu Mkuu WazirI ya Mambo ya Ndani ya Nchi, Meja Jenerali Jacob Kingu, akila kiapo cha uadilifu mbele ya Jaji Kiongozi wa Mahakama Kuu ya Tanzania Dk. Eliezer Feleshi kuwa Mjumbe wa Tume ya Utumishi kwa Jeshi la Polisi, Magereza, pamoja na Uhamiaji. Kiapo hicho kilifanyika katika ofisi za Mahaka Kuu ya Tanzania, jijini Dar es Salaam.
 Katibu Mkuu Wazira ya Mambo ya Ndani ya Nchi, Meja Jenerali Jacob Kingu akisaini karatasi la kiapo cha kuwa Mjumbe wa Tume ya Utumishi kwa Jeshi la Polisi, Magereza, pamoja na Uhamiaji, pembeni ni Jaji Kiongozi, Dk. Eliezer Feleshi wa Mahakama Kuu ya Tanzania aliyesimamia kiapo hicho katika Ofisi za Mahakama Kuu ya Tanzania jijini Dar es Salaam.
 Kamishna wa Jeshi la Polisi Zanzibar, Mohamed Haji Hassan akila kiapo cha uadilifu mbele ya Jaji Kiongozi wa Mahakama Kuu ya Tanzania Dr. Eliezer Feleshi kuwa Mjumbe wa Tume ya Utumishi kwa Jeshi la Polisi, Mageereza, pamoja na Uhamiaji. Kiapo hicho kilifanyika katika ofisi za Mahaka Kuu ya Tanzania, jijini Dar es Salaam.
 Katibu Mkuu  Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi, Meja Jenerali Jacob Kingu akisaini kitabu cha wageni alipowasili katika Ofisi za Mahakama Kuu ya Tanzania, jijini Dar es Salaam alipofika ofisini hapo kwaajili ya kula kiapo cha uadilifu kama mjumbe wa tume ya Utumishi ya Jeshi la Polisi, Magereza na Uhamiaji. Wa kwanza (kulia) ni  Jaji Kiongozi, Dk. Eliezer Feleshi wa Mahakama Kuu ya Tanzania akifuatiwa na Mohamed Haji Hassan, Kamishna wa Jeshi la Polisi Zanzibar.
Katibu Mkuu Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi, Meja Jenerali Jacob Kingu akifafanua jambo kwa Jaji Kiongozi, Dk. Eliezer Feleshi wa Mahakama Kuu ya Tanzania wakati alipoenda kula kiapo cha kuwa Mjumbe wa Tume ya Utumishi kwa Jeshi la Polisi, Magereza na Uhamiaji, katikati ni Mohamed Haji Hassan Kamishna wa jeshi la Polisi Zanzibar. (Picha na Mambo ya Ndani)

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...