Hiari
yashinda utumwa. Hayo ni maneno yaliyosemwa na Wana-Same baada ya
kupokea taarifa inayoonyesha athari za magonjwa yasiyoambukiza ambayo
mengi yanatokana na kutofanya mazoezi na kutokula vyakula sahihi.
Mratibu
wa michezo ameagizwa kupanga ratiba ya wananchi kufanya mazoezi kila wiki baada ya wananchi hao kuagizwa kufanya mazoezi ya japo nusu saa kila siku ili vijana
waonesha mwamko kuliko watu wazima.
Mkuu wa Wilaya ya Same Mhe. Rosemary Sitaki ameelekeza elimu itolewe nusu saa kila baada ya mazoezi
ili kuongeza mvuto wa watu kuja kwenye mazoezi.
Mada zenye nguvu kujadiliwa ikiwa ni pamoja na kusikiliza kero kutoka kwa wananchi mbalimbali.
Hakika " Same is not the same"
Mazoezi yaliyoongozwa na Mkuu wa Wilaya ya Same Mhe. Rosemary SitakiMada zenye nguvu kujadiliwa ikiwa ni pamoja na kusikiliza kero kutoka kwa wananchi mbalimbali.
Hakika " Same is not the same"
Mkuu wa Wilaya ya Same Mhe. Rosemary Sitaki akitoa nasaha za umuhimu wa mazoezi ya kila siku
Mkuu wa Wilaya ya Same Mhe. Rosemary Sitaki akiwa na vijana waliodamka kufanya mazoezi Jumamosi
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...