Mbunge wa Jimbo la Singida Magharibi, Mheshimiwa Elibariki Kingu, akishirikiana na wananchi wa Kata ya Sepuka mkoani humo juzi, kuandaa eneo kitakapo jengwa Kituo cha Afya cha kisasa ambacho kitagharimu shilingingi milioni 400.
Wananchi waking'oa visiki katika eneo kitakapo jengwa kituo cha Afya cha kisasa.
Kazi ya kuandaa eneo hilo ikiendelea.
Mbunge Elibariki Kingu, akiwahutubia wananchi wa Kata ya Sepuka baada ya kuandaa eneo kitakapo jengwa kituo cha afya, ambapo aliwaeleza miradi mbalimbali iliyofanywa na inayoendelea kufanywa katika jimbo hilo la uchaguzi la Singida Magharibi.
Wananchi wa Kata ya Sepuka wakimsikiliza Mbunge wao.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...