MBUNGE wa Jimbo la Tanga (CUF) Alhaji Mussa Mbaruku akishiriki kusambaza kifusi kilichowekwa kwa ajili ya kufukia kifusi kwenye eneo la Halton ambalo mtaro ulikatika na hivyo kusababisha usumbufu mkubwa kwa wananchi hasa nyakati wa mvua.
 Mbunge wa Jimbo la Tanga (CUF) Alhaji Mussa Mbaruku katika akiwa na Naibu Mkurugenzi wa Ulinzi na Usalama CUF Taifa Masoud Omari kushoto wakifukia vifusi kwenye barabara ya Halton ili kuweza kuondoa kero ya wananchi kutokana na kuwepo kwa mtaro uliokatika.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...