Mkurugenzi wa Uchaguzi
Dkt. Athumani Kihamia (kushoto) akisaini taarifa ya makabidhiano ya ofisini na
mtangulizi wake Bw. Kailima Ramadhani ambaye sasa ni Naibu Katibu Mkuu Wizara
ya Mambo ya Ndani ya Nchi.
Mkurugenzi wa Uchaguzi Dkt. Athumani Kihamia (kushoto) akikadhiwa sehemu ya makabrasha ya ofisini na mtangulizi wake Bw. Kailima Ramadhani ambaye sasa ni Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi.
Baadhi ya Wakuu wa
Idara za Tume ya Taifa ya Uchaguzi wakishuhudia utiaji saini wa taarifa ya
makabidhiano ya ofisini kati ya Mkurugenzi wa Uchaguzi Dkt. Athumani Kihamia
(kulia) na mtangulizi wake Bw. Kailima Ramadhani ambaye sasa ni Naibu Katibu
Mkuu Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...