Naibu Waziri wa Affya Zanzibar Harus Said Suleiman pamoja na Mwakilishi wa  WHO Tanzania Dkt. Adiele Onyeze wakitiliana saini makabidhiano ya Dawa na Vifaa Tiba kwaajili ya Wizara ya Afya Zanzibar katika hafla iliyofanyika katika Hoteli ya Ngalawa Bububu  Zanzibar.
 Naibu Waziri wa Affya Zanzibar Harus Said Suleiman akibadilishana hati za makabidhiano ya Dawa na Vifaa Tiba na Mwakilishi wa WHO Tanzania Dkt. Adiele Onyeze katika hafla iliyofanyika Hoteli ya Ngalawa Bububu Zanzibar.
 Naibu Waziri wa Affya Zanzibar Harus Said Suleiman akionesha kifaa cha kuchunguzia maradhi ya EBOLA, ( katikati) ni Mwakilishi wa Tanzania (WHO) Tanzania Dkt. Adiele Onyeze, kushoto Mkurugenzi kinga Wizara ya Afya Zanzibar Dkt. Fadhil Mohammed.
 Mwakilishi wa Shirika la Afya Ulimwenguni Tanzania (WHO) Dkt. Adiele Onyeze akizungumza katika hafla ya Makabidhiano ya  Dawa na Vifaa Tiba vilivyotolewa na Shirika la Afya Duniani  kwa Wizara ya Afya Zanzibar katika hafla iliyofanyika katika Hoteli ya Ngalawa Bububu Mjini Zanzibar.
 Baadhi ya Dawa na Vifaa Tiba vilivyotolewa na Shirika la Afya Ulimwenguni (WHO)  kwa Wizara ya Afya Zanzibar.
Picha na Abdalla Omar  Maelezo  - Zanzibar.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...