Naibu Katibu Mkuu Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI), Dkt. Zainab Chaula (kushoto) akitiliana saini hati ya makabidhiano ya msaada wa gari aina ya Toyota Landcruser kwa ajili ya  ufuatiliaji wa shughuli za Ukimwi katika ngazi ya jamii na Mradi wa Kuimarisha Mifumo ya Afya na Ustawi wa Jamii (CHSSP), Dkt. Tulli Tuhuma wakati wa hafla fupi ya kukabidhiana msaada huo leo jijini Dodoma. Kulia ni Mwakilishi wa USAID, Bi. Linda Madeleka. Msaada huo umetolewa kwa TAMISEMI na Shirika la Maendeleo la Watu wa Marekani(USAID) kupitia mradi wa CHSSP unaotekelezwa na Shirika lisilo la Kiserikali la John Snow Inc (JSI).
  Naibu Katibu Mkuu Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI), Dkt. Zainab Chaula (kushoto) akakipokea hati ya makabidhiano msaada wa gari aina ya Toyota Landcruser kwa ajili ya  ufuatiliaji wa shughuli za Ukimwi katika ngazi ya jamii leo jijini Dodoma. Kushoto ni Mwakilishi wa USAID, Bi. Linda Madeleka na Mkurugenzi wa Mradi wa Kuimarisha Mifumo ya Afya na Ustawi wa Jamii (CHSSP), Dkt. Tulli Tuhuma. Msaada huo umetolewa kwa TAMISEMI na Shirika la Maendeleo la Watu wa Marekani(USAID) kupitia mradi wa CHSSP unaotekelezwa na Shirika lisilo la Kiserikali la John Snow Inc (JSI).
  Naibu Katibu Mkuu Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI), Dkt. Zainab Chaula (katikati) akipokea ufunguo wa gari na Mwakilishi wa USAID, Bi. Linda Madeleka wakati wa hafla ya makabidhiano ya msaada wa gari aina ya Toyota Landcruser kwa ajili ya  ufuatiliaji wa shughuli za Ukimwi katika ngazi ya jamii leo jijini Dodoma. Kushoto ni Mkurugenzi Msaidizi Idara ya Afya toka Tamisemi, Rasheed Maftah. Msaada huo umetolewa kwa TAMISEMI na Shirika la Maendeleo la Watu wa Marekani(USAID) kupitia mradi wa CHSSP unaotekelezwa na Shirika lisilo la Kiserikali la John Snow Inc (JSI).
 Naibu Katibu Mkuu Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI), Dkt. Zainab Chaula akiwasha gari mara baada ya kukabidhiwa ufunguo wa gari hiyo na Mwakilishi wa USAID, Bi. Linda Madeleka (hayupo pichani) wakati wa hafla ya makabidhiano ya msaada wa gari aina ya Toyota Landcruser kwa ajili ya  ufuatiliaji wa shughuli za Ukimwi katika ngazi ya jamii leo jijini Dodoma. Msaada huo umetolewa kwa TAMISEMI na Shirika la Maendeleo la Watu wa Marekani(USAID) kupitia mradi wa CHSSP unaotekelezwa na Shirika lisilo la Kiserikali la John Snow Inc (JSI).
 Muonekano wa gari aina ya Toyota Landcruser lilolokabidhiwa Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI) kwa ajili ya  ufuatiliaji wa shughuli za Ukimwi katika ngazi ya jamii leo jijini Dodoma. Msaada huo umetolewa kwa TAMISEMI na Shirika la Maendeleo la Watu wa Marekani(USAID) kupitia mradi wa CHSSP unaotekelezwa na Shirika lisilo la Kiserikali la John Snow Inc (JSI).
 Naibu Katibu Mkuu Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI), Dkt. Zainab Chaula(katikati) akiwa katika picha ya pamoja na baadhi ya washiriki wa hafla fupi ya makabidhiano ya msaada wa gari aina ya Toyota Landcruser kwa ajili ya  ufuatiliaji wa shughuli za Ukimwi katika ngazi ya jamii leo jijini Dodoma. Msaada huo umetolewa kwa TAMISEMI na Shirika la Maendeleo la Watu wa Marekani(USAID) kupitia mradi wa CHSSP unaotekelezwa na Shirika lisilo la Kiserikali la John Snow Inc (JSI).(Picha zote na: Frank Shija – MAELEZO, Dodoma).


KUSOMA ZAIDI BOFYA HAPA

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...