Rais
Mstaafu awamu ya nne,Mh Dkt Jakaya Kikwete akimpokea Rais Mstaafu awamu
ya pili Mh.Alhaji Al-Hassan Mwinyi wakati wakiwasili Msasani kwenye
msiba wa Baba mzazi wa mke wa Rais Mstaafu, Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete,
Mama Salma Kikwete, Mzee Rashid Mkwachu, aliyefariki dunia jana
Alhamisi, Julai 19, 2018,ambapo maziko ya marehemu yanafanyika leo
katika Makaburi ya Kisutu,jijini Dar.
Rais
Mstaafu awamu ya nne,Mh Dkt Jakaya Kikwete akiwa ameambatana na Waziri
Mkuu Mhe.Kassim Majaliwa aliyeambatana na Mkewe Marry Majaliwa wakati
wakiwasili Msasani kwenye msiba wa Baba mzazi wa mke wa Rais Mstaafu,
Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete, Mama Salma Kikwete, Mzee Rashid Mkwachu,
aliyefariki dunia jana Alhamisi, Julai 19, 2018,ambapo maziko ya
marehemu yanafanyika leo katika Makaburi ya Kisutu,jijini Dar
Rais
Mstaafu awamu ya nne,Mh Dkt Jakaya Kikwete akizungumza jambo na Waziri
Mkuu Mstaafu Mh Pinda,kwenye msiba wa Baba mzazi wa mke wa Rais
Mstaafu, Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete, Mama Salma Kikwete, Mzee Rashid
Mkwachu, aliyefariki dunia jana Alhamisi, Julai 19, 2018,ambapo maziko
ya marehemu yanafanyika leo katika Makaburi ya Kisutu,jijini Dar
Mawaziri Wakuu wa zamani Mh Edward Lowassa na Mizengo Pinda wakisalimiana msibani.
Aliyewahi
kuwa Waziri wa Mambo ya Nje Mh Bernad Membe akijadiliana jambo na
Katibu Mkuu kiongozi Mstaafu,Ombeni Sefue kwenye msiba wa Baba mzazi
wa mke wa Rais Mstaafu, Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete, Mama Salma Kikwete,
Mzee Rashid Mkwachu, aliyefariki dunia jana Alhamisi, Julai 19,
2018,ambapo maziko ya marehemu yanafanyika leo katika Makaburi ya
Kisutu,jijini Dar
Mama
Maria Nyerere akiwa Wasaidizi wake wakiwasili kwenye kwenye msiba wa
Baba mzazi wa mke wa Rais Mstaafu, Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete, Mama
Salma Kikwete, Mzee Rashid Mkwachu, aliyefariki dunia jana Alhamisi,
Julai 19, 2018,ambapo maziko ya marehemu yanafanyika leo katika Makaburi
ya Kisutu,jijini Dar
Waziri
Mkuu wa Zamani,Mh Edward Lowassa akizungumza jambo na Katibu Mkuu
kiongozi Mstaafu,Ombeni Sefue kwenye msiba wa Baba mzazi wa mke wa Rais
Mstaafu, Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete, Mama Salma Kikwete, Mzee Rashid
Mkwachu, aliyefariki dunia jana Alhamisi, Julai 19, 2018,ambapo maziko
ya marehemu yanafanyika leo katika Makaburi ya Kisutu,jijini Dar.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...