Wadau wa Globu ya Jamii kutoka Tanzania Dhiresh Kaba, Moheel Kaba, Javier Diaz na Jay Kaba wakiwa Moscow kushuhudia kipute cha jana cha Croatia vs England
 Dhiresh Kaba akifurahia baada ya Croatia kusawazisha
Dhiresh Kaba, Moheel Kaba, Javier Diaz na Jay Kaba wakiwa Moscow kushuhudia kipute cha Croatia vs England
 Wadau Othman Tippo (kulia), Emma Rutagonya (kati) pamoja na Mboka wakiwa katika moja ya viwanja vya soka nchini Urusi kushuhudia kipute cha nusu fainali ya kombe la Dunia kati ya Croatia na England.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

  1. Hongereni wadau.Pamoja sana.Sisi tunamalizia Kagame cup pande hizi

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...