MKUU
wa wilaya ya Muheza Mhandisi Mwanasha Tumbo akizungumza na wananchi wa
wilaya hiyo waliofanyiwa uchunguzi wa matatizo ya macho wakati wa
zoezi la kufunga kambi ya matibabu ya tiba ya macho
iliyoendeshwa na Taasisi ya isiyokuwa ya kiserikali ya Medewell Health
Centre kwenye kituo cha Afya cha Ubwari wilayani Muheza
Mkurugenzi
wa wa taasisi ya Medewell Munir Meral akizungumza katika ufungaji wa
kambi hiyo kushoto ni Mkuu wa wilaya ya Muheza Mhandisi Mwanasha Tumbo.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...