Wanafunzi wa shule ya mshingi Bunju 'A' wakiwa wakiangalia mabaki ya basi la Dar Express lililoteketea kwa moto jana usiku katika eneo la Bunju, jijini Dar es salaam wakati likiwa njiani kutokea Jijini Arusha. katika tukio hilo kakukuwa na mtu aliyepoteza maisha wala majeruhi bali ni mali za baadhi ya abiria ndio ziliteketea. Chanzo cha ajali hiyo inadaiwa ni moja ya tairi ambayo ilipasuka lakini haikubadilishwa hili iliweza kushika moto.
 Wanafunzi hao wakiendelea kuiatazama basi hiyo baada ya kuteketea kwa moto.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...