Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza katika Kikao cha Maafisa Kilimo, Mifugo na Uvuvi kilichofanyika leo kwenye  ukumbi wa Chuo cha Mipango jijini Dodoma Julai 12, 2018.
 Baadhi ya washiriki wa mkutano wa Maafisa Kilimo, Mifugo na Uvuvi wakimsikiliza Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa wakati alipozungumza katika mkutano wao kwenye ukumbi wa Chuo cha Mipango jijini Dodoma Julai 12, 2018.
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akiwapungia viongozi baada ya kuhutubia  Mkutano wa Maafisa Kilimo, Mifugo na Uvuvi kwenye ukumbi wa Chuo cha Mipango jijini Dodoma leo Julai 12, 2018.  Kutoka kushoto ni Naibu Waziri wa Kilimo, Omary Mgumba, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais TAMISEMI, Suleiman Jafo, Waziri wa Mifugo na Uvuvi, Luhaga Mpina na Mkuu wa Mkoa wa Dodoma, Dkt. Binilith Mahenge. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu).

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...