Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akiwa ameshika silaha za jadi alizokabidhiwa na Wazee wa Mila wa Kisukuma katika mkutano wa hadhara aliouhutubia kwenye uwanja wa Kituo cha Afya cha Tinde mkoani Shinyanga Julai 14, 2018. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
 Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akiagana na wazee wa mila wa Kisukuma baada kuhutubia mkutano wa hadhara katika kijiji cha Tinde mkoani Shinyanga Julai 14, 2018.  
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akisalimina na Bw. Terence Little ambaye ni Asset Protection Manager wa Kamapuni ya uchimbaji madini ya Acacia na viongozi wengine wa Kampuni hiyo  wakati alipotembelea mgodi wa Buzwagi wilayani Kahama Julai 14, 2018. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...