Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi Mhe.Kangi Lugola akisalimiana na Kamishna wa Polisi Jamii Mussa Alli Mussa pamoja na Maofisa wengine alipokuwa akiwasili Makao Mkauu ya Polisi kwa ajili ya kuzungumza na Maofisa Wakuu wa Polisi jijini Dar es Salaam. Kushoto ni Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini IGP Simon Sirro
Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi Mhe.Kangi Lugola akizungumza na Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini IGP Simon Sirro wakati wa kikao chake na Maofisa Wakuu wa Polisi kilichofanyika Makao Makuu ya Polisi jijini Dar es Salaam.
Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi Mhe.Kangi Lugola akimsikiliza Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini IGP Simon Sirro wakati wa kikao chake na Maofisa Wakuu wa Polisi kilichofanyika Makao Makuu ya Polisi jijini Dar es Salaam.
Picha na Jeshi la Polisi
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...