Mchezaji Shaban Mwampambe (mwenye kipaza sauti)  akiongelea historia ya mchezajiAlphonce Modest ambaye kwa sasa ni mgonjwa siku ya Jumamosi July 7, 2018 siku ilipofanyika Old School Reunion DMV huko Marekani iliyoenda sambamba na utoaji tuzo kwa mchezaji huyo katika kumuenzi na kuthamini mchango wake kwenye soka la Tanzania enzi zake alipochezea timu za Simba, Yanga, Mlandege na timu ya Taifa.Picha na VijimamboBlog


Bongo Movie Monalisa akikabidhi tuzo ya Alphonce Modest kwa refa wa FIFA Kazi Kipenga aliyeipokea kwa niaba yake.


Refa wa FIFAKazi Kipenga akielezea jinsi alivyosaidia kumfikisha Alphonce Modest hospitali.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...