Meneja Mahusiano wa Benki ya Posta Tanzania (TPB) Bi. Noves
Moses akimkabidhi msaada wa magodoro na
mashuka Mbunge wa Jimbo la Ileje Mkoani Songwe Janeth Mbene (wapili kushoto)
wenye thamani ya shilingi milioni 3.3 kwa
ajili ya Shule ya Sekondari Mlale kama sehemu ya kupunguza changamoto
zinazoikabili shule hiyo. Kushoto ni Mkuu wa Shule hiyo Bi. Furaha Mhagama.
Meneja Mahusiano wa Benki ya Posta Tanzania (TPB) Bi. Noves
Moses akimkabidhi msaada wa magodoro na
mashuka Mbunge wa Jimbo la Ileje Mkoani Songwe Janeth Mbene (wapili kushoto)
wenye thamani ya shilingi milioni 3.3 kwa
ajili ya Shule ya Sekondari Mlale kama sehemu ya kupunguza changamoto
zinazoikabili shule hiyo. Kushoto ni mmoja wa wanafunzi wa shule hiyo
aliyeshuhudia mmsaada huo kwao.
Mbunge wa Jimbo la Ileje Mkoani Songwe Janeth Mbene akiwa katika picha ya pamoja na Uongozi wa Benki ya Posta Tanzania (TPB) na wanafunzi ya Sekondari ya Mlale mara baada ya kupokea msaada wa magodoro na mashuka yenye thamani ya Milioni 3.3 kutoka benki ya TPB.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...