Ofisa
Mtendaji Mkuu wa Benki ya TPB Plc Sabasaba Moshingi, akiwakaribisha
katika benki hiyo, wateja waliokuwa Benki ya Wanawake Tanzania (TWB) Pia
amefafanua mambo mbalimbali kuhusu kuwahudumia wateja wao bila
ukiritimba wowote watashirikiana pamoja. Mazungumzo hayo yalifanyika jijini Dar es Salaam juzi.
Baadhi ya wafanyakazi waliokuwa Benki ya Wanawake Tanzania (TWB) wakimsikiliza kwa makini Ofisa Mtendaji Mkuu wa Benki ya TPB Plc Sabasaba Moshingi,hayupo pichani, wakati wa kuwakaribisha katika Benki ya TPB
Ofisa Mtendaji Mkuu wa Benki ya TPB Plc Sabasaba Moshingi,kushoto akisalimiana na wateja waliokuwa Benki ya Wanawake Tanzania (TWB)na kuwakaribisha rasmi.Hafla hio ilifanyika jijini Dar es Salaam juzi.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...