Mkuu Wa Operesheni Maalum za Jeshi La Polisi, Naibu Kamishna (DCP) Liberates Sabas, akizungumza katika mkutano wa hadhara na wananchi wa Kijiji cha Nyamayinza, Tarafa ya Inonelwa, Kata Gulumangu ya, Wilaya ya Misungwi mkoani Mwanza kuhusu kushirikiana na Jeshi la Polisi kwaajili ya  kukabiliana na mauaji ya wanawake yanayotokana na imani za kishirikina yaliyotokea maeneo hayo siku za hivi karibuni.
 Mkuu Wa Operesheni Maalum za Jeshi La Polisi, Naibu Kamishna (DCP) Liberates Sabas, akizungumza na viongozi wa serikali za Mtaa na Kata katika Kijiji cha Lubili, Kata ya Lubili,Tarafa ya Mbarika wilayani Misungwi Mkoa wa Mwanza kuhusu kushirikiana na Jeshi la Polisi kwaajili ya  kukabiliana na mauaji ya wanawake yanayotokana na imani za kishirikina yaliyotokea maeneo hayo siku za hivi karibuni.

Mkuu Wa Operesheni Maalum za Jeshi La Polisi, Naibu Kamishna (DCP) Liberates Sabas, akiwa katika picha ya pamoja na  Viongozi wa Serikali za Mtaa na Kata katika Kijiji cha Lubili, Kata ya Lubili, Tarafa ya Mbarika wilayani Misungwi Mkoa wa Mwanza baada ya kumaliza kikao.
 Mkuu Wa Operesheni Maalum za Jeshi La Polisi, Naibu Kamishna (DCP) Liberates Sabas, akizungumza katika mkutano wa hadhara na wananchi wa Kijiji cha Nyamayinza, Tarafa ya Inonelwa, Kata Gulumangu ya, Wilaya ya Misungwi mkoani Mwanza kuhusu kushirikiana na Jeshi la Polisi kwaajili ya  kukabiliana na mauaji ya wanawake yanayotokana na imani za kishirikina yaliyotokea maeneo hayo siku za hivi karibuni. (Picha na Jeshi la Polisi).

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...