Mkurugenzi Mkuu wa Ofisi ya Taifa ya Takwimu (NBS), Dkt. Albina Chuwa akifafanua jambo mbele ya wajumbe wa Kamati ya Bajeti ya Kudumu ya Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania katika semina iliyoandaliwa na NBS jana Jijini Dodoma.
Mwenyekiti wa Kamati ya Bajeti ya Kudumu ya Bunge la Jamhuri la Muungano wa Tanzania, Mhe. Hawa Ghasia akisisitiza jambo wakati wa semina ya ya wajumbe wa Kamati hiyo iliyoandaliwa na Ofisi ya Taifa ya Takwimu(NBS),jijijini Dodoma jana. Kulia ni Mkurugenzi Mkuu wa Ofisi ya Taifa ya Takwimu (NBS), Dkt. Albina Chuwa.
Meneja wa Takwimu za Mazingira, Bibi. Ruth Minja akiwasilisha mada mbele ya wajumbe wa Kamati ya Bajeti ya Kudumu ya Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania katika semina iliyoandaliwa na NBS jana Jijini Dodoma. Mtakwimu Mkuu wa Ofisi ya Taifa ya Takwimu (NBS), Bw. Steven Maganda akiwasilisha mada kuhusu utafiti wa kaya mbele ya wajumbe wa Kamati ya Bajeti ya Kudumu ya Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania katika semina iliyoandaliwa na NBS jana Jijini Dodoma. Mbunge wa Jimbo la Mvomero, mkoani Morogoro Jeetson Patel akichangia mada wakati wa semina ya wajumbe wa Kamati ya Bajeti ya Kudumu ya Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania iliyoandaliwa na Ofisi ya Taifa ya Takwimu (NBS) jana Jijini Dodoma.[ Baadhi ya wajumbe wa Kamati ya Bajeti ya Kudumu ya Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na watendaji wa Ofisi ya Taifa ya Takwimu (NBS) wakifuatilia mada wakati wa semina kwa wajumbe hao iliyoandaliwa na Ofisi ya Taifa ya Takwimu (NBS) jana Jijini Dodoma.(Picha na Idara ya Habari - MAELEZO)

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...