Mkurugenzi Mkuu wa Ofisi ya Taifa ya Takwimu (NBS), Dkt. Albina Chuwa
akifafanua jambo mbele ya wajumbe wa Kamati ya Bajeti ya Kudumu ya Bunge
la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania katika semina iliyoandaliwa na NBS
jana Jijini Dodoma.
Mwenyekiti wa Kamati ya Bajeti ya Kudumu ya Bunge la Jamhuri la Muungano wa Tanzania, Mhe. Hawa Ghasia akisisitiza jambo wakati wa semina ya ya wajumbe wa Kamati hiyo iliyoandaliwa na Ofisi ya Taifa ya Takwimu(NBS),jijijini Dodoma jana. Kulia ni Mkurugenzi Mkuu wa Ofisi ya Taifa ya Takwimu (NBS), Dkt. Albina Chuwa.
Meneja wa Takwimu za Mazingira, Bibi. Ruth Minja akiwasilisha mada mbele
ya wajumbe wa Kamati ya Bajeti ya Kudumu ya Bunge la Jamhuri ya
Muungano wa Tanzania katika semina iliyoandaliwa na NBS jana Jijini
Dodoma.
Mtakwimu Mkuu wa Ofisi ya Taifa ya Takwimu (NBS), Bw. Steven Maganda
akiwasilisha mada kuhusu utafiti wa kaya mbele ya wajumbe wa Kamati ya
Bajeti ya Kudumu ya Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania katika
semina iliyoandaliwa na NBS jana Jijini Dodoma.
Mbunge wa Jimbo la Mvomero, mkoani Morogoro Jeetson Patel akichangia
mada wakati wa semina ya wajumbe wa Kamati ya Bajeti ya Kudumu ya Bunge
la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania iliyoandaliwa na Ofisi ya Taifa ya
Takwimu (NBS) jana Jijini Dodoma.[
Baadhi ya wajumbe wa Kamati ya Bajeti ya Kudumu ya Bunge la Jamhuri ya
Muungano wa Tanzania na watendaji wa Ofisi ya Taifa ya Takwimu (NBS)
wakifuatilia mada wakati wa semina kwa wajumbe hao iliyoandaliwa na
Ofisi ya Taifa ya Takwimu (NBS) jana Jijini Dodoma.(Picha na Idara ya
Habari - MAELEZO)
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...