NI MIAKA MINNE SASA TANGU UTUTOKE MPENDWA WETU, MAMA HELLEN HUBERT BYARUGABA. INGAWA ULITUTOKA GHAFLA BILA NENO LOLOTE KWETU, MATENDO YAKO YATABAKIA DAIMA NDANI MWETU NA AMANI NA UPENDO ULIVYOTUACHIA VITAENDELEA KUWA MWONGOZO KWETU.
JAPOKUWA HAUPO NASI KIMWILI LAKINI KIROHO BADO TUPO NAWE. MAMA TULIKUPENDA SANA NA TUTAENDELEA KUKUPENDA DAIMA.
UNAKUMBUKWA SANA NA MUME WAKO LEOPOLD BYARUGABA, WATOTO WAKO HENRY, LILIAN, LEVINA, LEODGAR-ALUTA, JIMMY PAMOJA NA FAMILIA ZAO WOTE NA MARAFIKI PIA
BWANA ALITOA NA BWANA ALITWAA JINA LA BWANA LIHIMIDIWE.
AMINA
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...