Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, ambaye pia Mbunge wa Jimbo la Mwibara, Kangi Lugola akizungumza katika mkutano wa hadhara na wananchi wa Kijiji cha Igundu, Jimboni kwake Mwibara, Wilaya ya Bunda, mkoani Mara. Katika hotuba yake, Lugola alitoa onyo kwa baadhi ya polisi wa usalama barabarani kuacha tabia ya kuomba rushwa pamoja na kuwatesa kwa kuwaweka mahabusu waendesha bodaboda ambao wanaofuata sheria za usalama barabarani.
Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, ambaye pia Mbunge wa Jimbo la Mwibara, Kangi Lugola akipiga ngoma ya asili ya Lukuyamoyo ya Kabila la Wajita wakati alipofanya ziara ya kukagua miradi ya maendeleo pamoja na kuzungumza na wananchi wa Mji mdogo wa Kisorya, Mwibara, Wilaya ya Bunda Mkoani Mara. Lugola alitoa ovyo kwa baadhi ya polisi wa usalama barabarani kuacha tabia ya kuomba rushwa pamoja na kuwatesa kwa kuwaweka mahabusu waendesha bodaboda ambao wanaofuata sheria za usalama barabarani. Picha na Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi.

Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, ambaye pia Mbunge wa Jimbo la Mwibara, Kangi Lugola (kulia), akimkabidhi Nyajoke Masatu, Kapteni wa Timu ya Brendabuke, zawadi ya shilingi 250,000 baada ya kuwa mshindi wa kwanza kwa kuifunga kwa penati timu ya Igundu katika mashindano ya mpira wa miguu la Bonanza la Kangi, linaloendelea katika kata 12 za Jimbo la Mwibara, Wilaya ya Bunda, mkoani Mara. Katika hotuba yake, Lugola alitoa ovyo kwa baadhi ya polisi wa usalama barabarani kuacha tabia ya kuomba rushwa pamoja na kuwatesa kwa kuwaweka mahabusu waendesha bodaboda ambao wanaofuata sheria za usalama barabarani. Picha na Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi.
Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, ambaye pia Mbunge wa Jimbo la Mwibara, Kangi Lugola (kushoto) akimkabidhi dawati Mkuu wa Shule ya Sekondari Mwigundu, Masele Kadoke, mara baada ya Waziri huyo kufanya mkutano wa hadhara na wananchi wa Kijiji cha Igundu, Mwibara, Wilaya ya Bunda, mkoani Mara. Lugola aliikabidhi Sekondari hiyo madawati 30 katika mkutano huo na alitoa ovyo kwa baadhi ya polisi wa usalama barabarani kuacha tabia ya kuomba rushwa pamoja na kuwatesa kwa kuwaweka mahabusu waendesha bodaboda ambao wanaofuata sheria za usalama barabarani.. Picha na Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...