Afisa wa Ofisi ya Bunge, Ndugu Partson  akimuelezea  Mstahiki Meya wa Jiji la Dodoma Mheshimiwa Profesa Davis Mwamfupe  orodha ya Maspika waliowahi kuongoza Bunge pamoja na Kumbi zilizowahi kutumika kuendesha vikao vya Bunge.Mheshimiwa Mwamfupe alitembelea Banda la Ofisi ya Bunge katika Maonyesho ya Nanenane yanayoendelea Jijini Dodoma.
 Afisa wa Ofisi ya Bunge, Ndugu Partson  akimuonyesha  Mstahiki Meya wa Jiji la Dodoma Mheshimiwa Profesa Davis Mwamfupe kitabu cha Viapo vya Waheshimiwa Wabunge cha miaka iliyopita. Mheshimiwa Mwamfupe alitembelea Banda la Ofisi ya Bunge katika Maonyesho ya Nanenane yanayoendelea Jijini Dodoma.
 Afisa wa Ofisi ya Bunge, Ndugu Partson  akimuonyesha  Mstahiki  Meya wa Jiji la Dodoma Mheshimiwa Profesa Davis Mwamfupe vazi la Spika pamoja na kumuelezea historia ya vazi hilo. Mheshimiwa Mwamfupe alitembelea Banda la Ofisi ya Bunge katika Maonyesho ya Nanenane yanayoendelea Jijini Dodoma.
Afisa wa Ofisi ya Bunge, Ndugu Omary Machunda akitoa elimu kwa umma kuhusiana na Bunge kwa wanafunzi wa Shule ya Awali ya Taqwa wakati wanafunzi hao walipotembelea Banda la Ofisi ya Bunge katika Viwanja vya Maonyesho ya Nanenane Jijini Dodoma.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...