Mchezaji taekwondo wa Polisi Tanzania mkaguzi wa Polisi (INSP) Danny  ameshika 
   nafasi ya kwanza kwa mchezo wa uzito wa juu katika michezo ya karate ya TaeKwondo kwenye michezo ya EAPCCO inayoendelea viwanja vya chuo kikuu cha Dar es Salaam
 Naibu kamishna wa Polisi (DCP) Ahmada Khamisi akikabidhi kobe kwa mshindi wa mchezo wa Taekwondo kutoka Polisi Kenya katika michezo ya EAPCCO GAMES yanayoendelea viwanja vya chuo kikuu cha Dar es SALAAM.
Wachezaji wa mchezo wa Taekwondo kutoka Polisi Rwanda wakishagilia ushindi wa kwanza wa ujumla baada ya kupata vikombe viwili katika mchezo huo. Picha zote na Jeshi la Polisi

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...