Mkuu wa mkoa wa Ruvuma Christina Mndeme amemwagiza kamanda wa TAKUKURU wilaya ya Mbinga kuchunguza malipo ya zaidi ya shilingi milioni 525 iliyolipwa kampuni ya ARDHI PLAN na kuzuia madai ya zaidi ya shiingi milioni 500 inayodai kampuni hiyo,kutokana na upimaji wa Ardhi usiozingatia kanuni ya matumizi bora ya Ardhi katika vijiji vya Halmashauri ya Mbinga. Ambapo kampuni hiyo ni ya aliyekuwa Mkurugenzi wa Halmashuri hiyo Gombo Samandito.
Home
Unlabelled
MKUU WA MKOA WA RUVUMA CHRISTINA MNDEME AAGIZA TAKUKURU KUICHUNGUZA KAMPUNI YA ARDHI PLAN
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...