Mwenyekiti wa Bodi ya NDC Dr Samuel Nyantahe akitoa maelezo juu ya mradi wa kuunganisha matrekta unaotekelezwa hapa nchini chini ya NDC wakati wa uzinduzi wa Uuzaji Trekta hizo mkoa wa Mwanza katika eneo la Viwanda Makuyuni.( 16.08.2018)
Mwakilishi kutoka Bneki ya Maendeleo ya Kilimo (TADB) Bw Steven Kang’ombe akitoa maelezo ya namna ya kupata mikopo ya ununuzi wa Trekta za URSUS wakati wa uzinduzi wa uuzaji Trekta hizo mkoa wa Mwanza
Mkuu wa Mkoa wa Mwanza Ndg John Mongella akibadilishana mawazo na viongozi mbalimbali wa Serikali wakati wa Uzinduzi wa Uuzaji wa Trekta za URSUS mkoa wa Mwanza katika eneo la Viwanda Makuyuni jana (16.08.2018)

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...