Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt.
John Pombe Magufuli (katikati) akizungumza na wanakijiji wa Rubambagwe plot (Chato)
wakati alipokwenda kutoa pole kwenye msiba wa Patricia Tibengana Mazigo (75) aliyefariki juzi tarehe 16-8-2018 Chato mkoani Geita. PICHA NA IKULU
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akiwafariji wafiwa wakati alipokwenda kutoa pole kwenye msiba wa Patricia Tibengana Mazigo (75) aliyefariki juzi tarehe 16-8-2018 Chato mkoani Geita.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...